Reader Settings

SEHEHMU YA 179.

Ukweli ni kwamba Regina alikuwa na shauku kubwa ya kutaka kujua Hamza ana hadhi gani kiasi cha kuifanya familia ya kifalme kutoka Saebia na wapishi hao kuwa na wasiwasi namna hio? Hivyo aliamini pengine anaweza kumfahamu Hamza zaidi kama angeenda nyumbani kwa Mathayo kwa ajili ya chakula.

“Sawa, nitakusikiliza wewe twende nyumbani kwa Mathew”Aliongea Hamza akimkubalia Regina.

Hamza alichukuana na …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next