Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

HADITHI: BADO NINAISHI (ASHRAFU NDILO JINA LANGU)

MWANDISHI: FEBIANI BABUYA

EMAIL: [email protected]

WHATSAPP: 0621567672

AGE: 18+

SEHEMU YA AROBAINI NA TISA

Mlinzi alisogea getini kwa kasi akiwa na silaha yake mkononi, ni wazi aliyegonga alimpa hasira sana kukosa ustaaarabu hivyo alifungua kwa hasira ili kumkomesha mtu huyo lakini baada ya kufungua hakuona mtu hivyo aliishia kusonya kwa hasira sana.

"Kuna nini huko David?" …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next