Reader Settings

“Dogo , uko sawa sasa?”Aliuliza Hamza na kumfanya Irene kugeuka na kutingisha kichwa akiwa na furaha.

“Niko sawa , Mejaraha yangu yote yamepona m sijisikii maumivu yoyote. Hamza bibi ashaniambia kila kitu. Siamini dada yangu kanipa hata damu yake , nimeguswa mno”

“Unaonekana kuwa na furaha sana?”Aliuliza Hamza na Irene alicheka.

“Ndio! Nina furaha tunakwenda kuwa familia”

Hamza alijikuta akikosa usemi. Msichana huyo uelewa wake …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next