HADITHI: BADO NINAISHI (ASHRAFU NDILO JINA LANGU)
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
EMAIL: [email protected]
WHATSAPP: 0621567672
AGE: 18+
SEHEMU YA SITINI NA TISA
"Maana yake hilo likifanikiwa basi moja kwa moja Bruno angempa maelezo kuhusu mtu ambaye yeye alipaswa kumtafuta ambaye ungekuwa mwanzo wa kuwajua watu wote ambao walihusika. Kumbuka nilikwambia kwamba haya magenge huwa yanatumika na watu ambao hawajulikani ili kujilinda kwa maslahi yao …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments