Reader Settings

SEHEMU YA 266.

Katika macho ya Hamza , ngumi alizokuwa akirusha Jambo Kubwa zilikuwa za taratibu sana. Hamza alikuwa akijua asilimia kubwa ya wanajeshi ambao hawakuwa na haja ya kuingia vitani , lakini walikuwa na nguvu za nishati ya mbingu na ardhi kuna kitu muhimu wanakosa.

Katika vita ambavyo yeye alipitia , ilikuwa ni hatari sana na alipata kujifunza mengi zaidi katika hali ya kikatili …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next