HADITHI: BADO NINAISHI (ASHRAFU NDILO JINA LANGU)
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
EMAIL: [email protected]
WHATSAPP: 0621567672
AGE: 18+
SEHEMU YA SABINI NA MBILI
"Mimi nafuatilia uhalisia wa maisha yangu na bosi aliniambia kwamba atanipa ukweli mpaka nikikamilisha kazi ya kumkamata tena Ashrafu jambo ambalo limekuwa gumu sana ndiyo maana niliamua kuutumia mwili wangu ili kumuweka karibu mheshimiwa anisaidie kwenye hili. Sikutaka kukaa na kusubiri msaada …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments