Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

HADITHI: BADO NINAISHI (ASHRAFU NDILO JINA LANGU)

MWANDISHI: FEBIANI BABUYA

EMAIL: [email protected]

WHATSAPP: 0621567672

AGE: 18+

SEHEMU YA SABINI NA SITA

"Bruno Josephat alishakufa"

"Nani kamuua?"

"Nilienda kumchukua kule gerezani baada ya kusikia kwamba alipokutana na wewe ndipo ukapotea nikaenda kumhifadhi makao makuu lakini kwa bahati mbaya sana baada ya kuonana na raisi alikutwa akiwa amekufa pamoja na Luka Gambino mkuu wa lile …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next