Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

HADITHI: BADO NINAISHI (ASHRAFU NDILO JINA LANGU)

MWANDISHI: FEBIANI BABUYA

EMAIL: [email protected]

WHATSAPP: 0621567672

AGE: 18+

SEHEMU YA THEMANINI NA SABA

Ni simu ambayo ilimchanganya sana mheshimiwa, simu ambayo iliufanya moyo wake uende kwa spidi mno kiasi kwamba alihisi nafsi yake inaweza kumtoka. Alikuwa anampenda sana mwanamke huyo hasa baada ya kufanikisha kumzalia watoto mapacha na mwanamke mwenyewe alikuwa mrembo sana kuliko hata …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next