HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)
MTUNZI: FEBIANI BABUYA
EMAIL: [email protected]
WHATSAPP: 0621567672
AGE: 18+
Episode 11
“Ndiyo bosi, huyo mtu yupo hai”
“Hapana hilo haliwezekani kabisa”
“Iko hivyo mheshimiwa kwa sababu kwa taarifa ambazo nimezipata ndani ya ule ulingo wa mapambano kutoka kwa baadhi ya watu ambao walikuwa wanabishana mle ndani ni kwamba bado yupo hai na amehifadhiwa mahali”
“F**k …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments