Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)

MTUNZI: FEBIANI BABUYA

EMAIL: [email protected]

WHATSAPP: 0621567672

AGE: 18+

Episode 21

Mmoja ambaye alikuwa amebakia ni kama hakuwa akiamini kilichokuwa kinaendelea, yeye na hao wenzake watatu ambapo wawili walikuwa wamekufa tayari na mmoja alikuwa kwenye hali mbaya sana na ni yeye tu pekee ambaye alibaki amesimama akiwa vizuri kabisa, wasiwasi ni kama ulianza kumuingia kwenye nafsi …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next