Reader Settings

ENDELEA..........

Kani kwa mara ya kwanza alikuwa anashuka ndani ya jiji la Dar es salaam ambalo kwake lilikuwa ni geni mno hakuwahi kufika zaidi ya kusikia tu watu wakiwa wanalinakshi kwa uzuri wake wa kuvutia na umaridadi wa maisha ambayo watu waliomo ndani yake huwa wanayaishi kila siku, majira ya jioni wakati kiza kinaanza kuingia taratibu ndio muda ambao alikuwa anashuka stendi. Namba …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next