HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)
MTUNZI: FEBIANI BABUYA
EMAIL: [email protected]
WHATSAPP: 0621567672
AGE: 18+
Episode 23
“Hapana mheshimiwa sina maana hiyo”
“Maana yako ni ipi?”
“Ni kwa sababu ya pesa tu”
“Kuniuza kwa yule fedhuli ulilipwa kiasi kikubwa sana cha pesa kwahiyo ukaona kabisa hazitoshi mpaka ukaamua kutaka kuniteketeza kabisa?”
“Nisamehe sana hili halitajirudia tena, naapa”
“Nawachukia sana wanadamu …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments