Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)

MTUNZI: FEBIANI BABUYA

EMAIL: [email protected]

WHATSAPP: 0621567672

AGE: 18+

Episode 23

“Hapana mheshimiwa sina maana hiyo”

“Maana yako ni ipi?”

“Ni kwa sababu ya pesa tu”

“Kuniuza kwa yule fedhuli ulilipwa kiasi kikubwa sana cha pesa kwahiyo ukaona kabisa hazitoshi mpaka ukaamua kutaka kuniteketeza kabisa?”

“Nisamehe sana hili halitajirudia tena, naapa”

“Nawachukia sana wanadamu …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next