ENDELEA..................
Walikuwa kama familia moja, ilikuwa ni furaha kubwa sana kujumuika pamoja sasa swali moja lilikuwa limejibiwa kwake bila hata yeye kuuliza kwa kuweza kujua mahali ambapo rafiki yake alikuwa anaishi tena alibahatika kuijua na familia yake kabisa, sasa ilikuwa ni kawaida kwa Kani kwenda kwa Alen siku ambazo alikuwa ana muda wa kutosha kwa sababu mpaka muda huo alikuwa tayari …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments