HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)
MTUNZI: FEBIANI BABUYA
EMAIL: [email protected]
WHATSAPP: 0621567672
AGE: 18+
Episode 35
“Ndiyo maana mimi nimekwambia kila ambacho nakijua kwa sababu nakuamini kama isingekuwa hivyo nisingekwambia mambo ya hatari sana kwangu kama haya ambayo yanahatarisha maisha yangu”
“Denis Kijazo anatakiwa kuuawa”
“Sijakuelewa”
“Siko pekeyangu katika hili. Kuna baadhi ya watu ambao wanahitaji afe hivyo tutamuua”
“Unamaanisha …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments