HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)
MTUNZI: FEBIANI BABUYA
EMAIL: [email protected]
WHATSAPP: 0621567672
AGE: 18+
Episode 37
“Mheshimiwa imekuwa ni ghafla sana, sikutegemea kwamba mtu kama mimi naweza kutembelewa na wewe”
“Ushakuwa waziri mkuu wa nchi sasa kwanini haujiamini?”
“Niseme ni fahari sana kwangu kutembelewa na wewe”
“Upo upande gani bwana Mtadei?”
“Unamaanisha nini?”
“Usijifanye wewe ni mgeni sana wa hiki …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments