Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)

MTUNZI: FEBIANI BABUYA

EMAIL: [email protected]

WHATSAPP: 0621567672

AGE: 18+

Episode 39

“Max na Bilali wanakutana lini na mpango unatakiwa kuanza lini mheshimiwa” waziri mkuu aliuliza akionekana kabisa kuwa na hamu kubwa sana ya kuweza kulijua jambo hilo.

“Nitawapa taarifa kuhusu hilo lakini na nyie kwa sasa kila mtu anatakiwa kuanza kuifanya kazi ikiwa ni kukusanya taarifa …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next