ENDELEA.......................
“Unahisi ni kwanini alitoroka na kupotea wakati alikuwa hana kesi wala kosa lolote lile?” ni sauti nyingine nzito ambayo aliiskia kutoka kwa mwanaume huyo baada ya kukamilisha maelezo yake ya kwanza.
“Sina majibu kamili kwa sababu ilikuwa ni ghafla sana ila nakumbuka kwa baadae walihusisha lile jambo na upoteaji wa madini walihisi huenda mtu yule alitoroka na madini …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments