Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)

MTUNZI: FEBIANI BABUYA

EMAIL: [email protected]

WHATSAPP: 0621567672

AGE: 18+

Episode 56

Hao watatu walikuwa ni zaidi ya familia na ndiyo maana mambo mengi walikuwa wakiyafanya pamoja hivyo wenzake kuanza kumuaga aliona kama amepoteza kitu kikubwa sana kwenye maisha yake. Alishusha chozi kuwakimbia watu ambao walikuwa kama mapacha, alipiga saluti ya heshima na kuwakumbatia wanaume hao kisha …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next