Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

HADITHI: SIKU ZA MWISHO

MWANDISHI: FEBIANI BABUYA

WhatsApp: +255621567672

Email: [email protected]

UMRI: 18+

SEHEMU YA SABA

Timotheo Ganze alikuwa amerejea kutoka Dodoma, kurejea kwake kulitokana na sababu ya kwamba kazi ambayo alitakiwa kwenda kuifanya huko ilikuwa imeisha lakini hakuwa na furaha. Hakuwa na furaha kwa sababu yaliibuka mambo mengine ambayo huenda kwa wakati kama huo bado hakuwa ameyatarajia kama yanaweza kutokea.

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next