HADITHI: SIKU ZA MWISHO
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
WhatsApp: +255621567672
Email: [email protected]
UMRI: 18+
SEHEMU YA KUMI NA TISA
“No, no, no hilo haliwezekani, anaijua ile familia vizuri hawezi kuhitaji kulifanya jambo kama hilo”
“Ungenipa nafasi ya kumalizia kwanza mheshimiwa” raisi hakuwa na namna, kichwa kilikuwa kinapata moto wakati huo.
“Mheshimiwa, watu ambao mara nyingi huwa wana hesabu za mbali, huwa …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments