HADITHI: SIKU ZA MWISHO
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
WhatsApp: +255621567672
Email: [email protected]
UMRI: 18+
SEHEMU YA THELATHINI NA MOJA
“Kijana wangu alikutana na Othman na ndiye aliwaua wale watu kule Dodoma”
“Hivi siku ile msituni ulikuwepo?”
“Ndiyo”
“Uliona aliyo yafanya yule mwanamke?”
“Ndiyo”
“Halafu bado unataka kuendelea kumtafuta?”
“Ndiyo”
“Hapana ndugu yangu mimi siwezi kukusaidia kwa jambo kama hili, nimebahatika …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments