Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

HADITHI: SIKU ZA MWISHO

MWANDISHI: FEBIANI BABUYA

WhatsApp: +255621567672

Email: [email protected]

UMRI: 18+

SEHEMU YA THELATHINI NA TISA

“Bosi kuna habari mbaya zimetufikia hivi sasa” ile sauti haikuwa ngeni kwake, ilikuwa ni sauti ya moja ya vijana wake ambao alikuwa anawaamini sana, Mabanzi umri ukiwa unazidi kwenda mbele kwa mwanaume huyo.

“Mama yupo salama?”

“Ndiyo bosi”

“Andaa helikopita saivi tunaenda …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next