Reader Settings

Karimu alipigika mpaka kufikia hali hakuwa akitamanika . Mwanamke aliekuwa ndani ya gari alijikuta akishikwa na woga kiasi kwamba hakupata hata muda wa kupiga simu polisi , akiogopa anaweza kuchangiwa na yeye.

Baada ya dakika mbili za kichapo, Karim sura yake ilikuwa imemvimba na aliona angekufa kama asingeomba kuachiwa.

“Tafadhari niacheni , naombeni mniache , nisameheni …”

Hamza mara baada ya kuona anapiga makelele alimpiga …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next