SURA YA TANO:
Juma aliketi kwenye kivuli cha mti mkubwa, akiangalia kwa macho yaliyoshikana maumivu. Giza lilikuwa linakuja kwa haraka, lakini yeye alijua wazi kuwa giza lake lilikuwa linazidi kuwa nene kuliko la usiku. Alijua sasa kwamba jambo moja tu lilikuwa linahitaji kufanya kazi; kisasi, kisasi kilikuwa kinapambana na mapenzi, lakini mapenzi ya kweli hayawezi kuwa na mabadiliko yanayokuja bila kuumiza.
…
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments