Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

HADITHI: SIKU ZA MWISHO

MWANDISHI: FEBIANI BABUYA

WhatsApp: +255621567672

Email: [email protected]

UMRI: 18+

SEHEMU YA AROBAINI NA MBILI

“Mtu?”

“Ndiyo”

“Unamaanisha nini?”

“Kuna mtu unatakiwa kuonana naye na yeye ndiye anaweza kukupa nafasi nyingine ya wewe kuwa hai”

“Hahaha hahahaa hivi unaniona mimi mtoto? Simamisha gari” alifoka kwa nguvu lakini mhusika hata hakufanya hivyo jambo ambalo lilimfanya afoke kwa sauti …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next