MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
WhatsApp: +255621567672
Email: [email protected]
UMRI: 18+
SEHEMU YA HAMSINI
“Vipi kama mimi nikakukamata saivi au kukuua? Maana yake ni kwamba haya yote yanaweza kuishia humu humu ndani”
“Kuna kipindi niliwahi kukwambia siku ile kule msituni kwamba kukurupuka kwako kulifanya ukawapoteza makomando wengi kwa usiku mmoja hivyo lile kosa lisije kukufanya ukawapoteza watu wengine kwa sasa. ningeamua kuja kwa …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments