Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

MWANDISHI: FEBIANI BABUYA

WhatsApp: +255621567672

Email: [email protected]

UMRI: 18+

SEHEMU YA SITINI

Wambui alipobaki mwenyewe alisonya, alisonya kwa hasira kwa sababu hakuonekana kupendezwa na hali ile, uwepo wa Liam hadharani halikuwa jambo jema kwake kwakuwa aliona kama siri zake zinaanza kuja hadharani jambo lililokuwa la hatari na hakuona umuhimu wake zaidi ya kujiingiza kwenye majanga kwa baadae. Aliivuta simu yake na kupiga …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next