Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

MWANDISHI: FEBIANI BABUYA

WhatsApp: +255621567672

Email: [email protected]

UMRI: 18+

SEHEMU YA SABINI

Yule mwenzake naye aliona kama jamaa yake alikuwa na mpango wa kumuua na sio kupigana kirafiki tu, hivyo alirukia mbele ambapo alidunda ardhini wakati anageuka alikuwa amevuta visu viwili kwenye miguu yake ambapo alienda kushambulia kwa nguvu kubwa akihitaji kummaliza mwenzake. Alimtishia mwenzake ambaye alifanikiwa kuupangua mkono mmoja huku mmoja …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next