MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
WhatsApp: +255621567672
Email: [email protected]
UMRI: 18+
SEHEMU YA SABINI NA SABA
“Sababu inaweza kuwepo na ndiyo maana hata mkurugenzi wa NIS umeshangazwa naye”
“Sababu ipo? Ni ipi?”
“Kutuangamiza sisi”
“Kwanini?”
“Kuna sababu mbili, moja ni pesa nyingi ambazo tunazo na pili ni kuhitaji kuua kabisa historia ya jina letu na kuhitaji kutengeneza jina lao kupitia sisi. Na jambo …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments