MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
WhatsApp: +255621567672
Email: [email protected]
UMRI: 18+
SEHEMU YA SABINI NA TISA
N. MATA STREET
BANGUI.
Hatua miamoja kutoka eneo ambalo lilionekana kuwa na uwanja ambao bila shaka watoto walikuwa wanautumia kwenye mchezo wa mpira, kulikuwa na nyumba ambazo zilifuatana. Nyumba zilikuwa zimeungana ila moja tu pekee ndiyo ambayo ilikuwa eneo lake yenyewe, ilionekana kuwa nyumba ya zamani kidogo kutokana …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments