Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

MWANDISHI: FEBIANI BABUYA

WhatsApp: +255621567672

Email: [email protected]

UMRI: 18+

SEHEMU YA THEMANINI NA TANO

“Kwa aina ya mauaji ambayo wanayafanya hapo basi inatakiwa sisi tuwe na akili zaidi kuweza kuwazidi wao” wanaume hao walikuwa wakibadilishana mawazo kuweza kujua namna ambavyo wangefanikiwa kuipata familia hiyo maarufu na hatari.

“Kabla ya kujua tunawapatia wapi watu hao nadhani kuna umuhimu wa kuweza kujua kwamba …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next