Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

MWANDISHI: FEBIANI BABUYA

WhatsApp: +255621567672

Email: [email protected]

UMRI: 18+

SEHEMU YA THEMANINI NA SABA

“Alikufanya nini baada ya pale?”

“Nilijaribu kupigana naye ila uhalisia ni kwamba sikuwa hata na huo uwezo wa kushindana naye, alinipiga vibaya mpaka nikazimia, nilipokuja kuzinduka ni wenzangu wawili ndio walikuwa pembeni yangu’’ wakati Layka anajielezea Kasian alikuwa anawasikiliza kwa umakini akiwa anazungusha shilingi inayo ng’aa kwenye mkono …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next