MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
WhatsApp: +255621567672
Email: [email protected]
UMRI: 18+
SEHEMU YA TISINI NA TATU
“Nilienda kuwatembelea kwa siri nikakutana na watu”
“Watu?”
“Ndiyo”
“Ulimjua hata mmoja?”
“Hapana, niliondoka kimya kimya kwa sababu nina imani wangenikamata”
“Umefanya nini mpaka wakukamate?”
“Sura yangu inajulikana kila sehemu unahisi wangeshindwa kunitambua?”
“Kwahiyo unaamini kwamba na wewe pia wangekuua?”
“Huenda kama wangehitaji kuweza kufuta kizazi kizima”
…Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments