Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

HADITHI: SIKU ZA MWISHO

MWANDISHI: FEBIANI BABUYA

WhatsApp: +255621567672

Email: [email protected]

UMRI: 18+

MWISHO...................

Raisi huyo alifungwa kwenye gereza la pekeyake ambalo lilikuwa likimilikiwa na shirika la kijasusi yaani TIGI. Ulipita mwezi mzima akiwa ndani na selo ambayo ilikuwa ardhini, kwa mwezi mzima hakuwahi hata kuliona jua kabisa. Alikuwa amejikatia tamaa ya maisha, kwa mwezi mmoja alikuwa ameanza kufubaa mno kwani …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua