Reader Settings

SEHEMU YA 20.

Yonesi kama bodigadi alikuwa na taarifa zote za

Regina kuajili msaidizi wake mwingine na mara baada ya kufahamu ni Hamza aliishia kushangaa na kujiuliza nini kinachoendelea , hakuwa na taarifa zote, alihisi kuna kitu kinaendelea kati yao lakini aliona ni kheri ajirushe baharini aliwe na mamba kuliko kuamini Regina anaweza kutoka kimapenzi na mwanaume kama Hamza.

Kingine ambacho kilimfanya Yonesi kumdharau Hamza …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next