"Vipi kuhusu miili ya walinzi waliokufa?"
"Tunatoa taarifa kwa polisi kwamba wamekufa kwenye majukumu yao ya kulinda usiku na ni ukweli, kuhusu vifo vyao hatutasumbuliwa isitoshe kesi kama hizi za watu kufa usiku vifo vya ajabu hazijaanza leo wala jana"
Kesho yake baada ya kutoa taarifa ya vifo vya walinzi walianza mchakato wa kuwazika kwa heshima walinzi hao na baada ya kumaliza maisha yakaendelea
…Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments