SEHEMU YA 21
Mwanamke ambae alikuwa amepambwa na tabasamu mbele ya Amosi alikuwa ni Tresha , pengine Hamza angekuwepo ndani ya hilo eneo angemfahamu mara moja , ndio mrembo ambae alimpagawisha katika Apartment za Dosam Homes , mwanamke ambae kwa maelezo ya Amiri uzuri wake ni wa kutengeneza na inasemekana ni mfanyakazi wa Binamu Island.
Amosi alimwangalia Tresha kwa dakika kadhaa na kisha akayainua macho …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments