Reader Settings

SEHEMU YA 21

Mwanamke ambae alikuwa amepambwa na tabasamu mbele ya Amosi alikuwa ni Tresha , pengine Hamza angekuwepo ndani ya hilo eneo angemfahamu mara moja , ndio mrembo ambae alimpagawisha katika Apartment za Dosam Homes , mwanamke ambae kwa maelezo ya Amiri uzuri wake ni wa kutengeneza na inasemekana ni mfanyakazi wa Binamu Island.

Amosi alimwangalia Tresha kwa dakika kadhaa na kisha akayainua macho …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next