Reader Settings

Hamza kadri alivyokuwa akisikiliza ndio uso wake ulionyesha mabadiliko , hayakuwa mabadiliko ya mshangao bali ya kuchanyikiwa pia.

“Mbona nasikia lugha ambayo sijawahi kuisikia popote ni lugha gani hii?”Aliongea Hamza na kumfanya Amiri na yeye kuonyesha ishara ya kutokujua.

“Hapo ndio pamenichanganya sana , hio sauti ni ya Mellisa wangu , siwezi kosea Bro , lakini anaongea lugha ambayo siijui”Aliongea Amiri na Hamza aliongeza umakini …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next