SEHEMU YA 23.
Yonesi aliishia kuinua kichwa na kumwangalia Hamza kwa sekunde kadhaa na kisha akampotezea na kuendelea na chakula chake , kitendo kile kiliwashangaza wengi na kuona au Hamza ameshamuweza Yonesi.
Muda huo Hamza aliweza kuona Yonesi alikuwa amejisevia Sausage kwenye sahani yake lakini hata yeye pia ni moja ya chakula alichochukuwa , ki ufupi ni kwamba hakubakisha.
Mgahawa huo wa kampuni chakula kilikuwa …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments