Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

SEHEMU YA NNE

USHAHIDI WA MWANAMKE

Siku ya kwanza kumpatia namba zangu nilikuwa nimejiingiza kwenye mtego uliokuwa umerembwa vizuri na kunihadaa. Kama utani tu, nikawa nasubiri anitafute.

Usiku wa kwanza, kimya!...nilikesha nikisubiria

ujumbe wowote ule kutoka kwenye namba ngeni lakini kioo cha simu yangu kilinionesha meseji kutoka kwa watu wengine tofauti tofauti niliowafahamu.

Hakuna namba yeyote ngeni ilionitafuta. Asubuhi …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next