SEHEMU YA 25.
“Ni rahisi sana kitabu au tuambie wapi alipo Tembo wa Trishaza na ndio tutamuachia huyu mwanamke haraka iwezekanavyo”Aliongea Mendoza
“Mabadilishano yatafanyikia wapi?”Aliuliza Hamza , hakutaka kupoteza muda.
“Kama tulivyotarajia , kumbe kitabu unacho?”Aliongea na muda ulule alimtajia eneo ambalo anapaswa kwenda.
“Mr Hamza tunakupatia masaa matatu kamili , ukipitisha hayo masaa usije kutulaumu huyu mwanamke akipotea na sisi”Aliongea na Hamza hakutaka kuendelea …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments