Reader Settings

SEHEMU YA 25.

“Ni rahisi sana kitabu au tuambie wapi alipo Tembo wa Trishaza na ndio tutamuachia huyu mwanamke haraka iwezekanavyo”Aliongea Mendoza

“Mabadilishano yatafanyikia wapi?”Aliuliza Hamza , hakutaka kupoteza muda.

“Kama tulivyotarajia , kumbe kitabu unacho?”Aliongea na muda ulule alimtajia eneo ambalo anapaswa kwenda.

“Mr Hamza tunakupatia masaa matatu kamili , ukipitisha hayo masaa usije kutulaumu huyu mwanamke akipotea na sisi”Aliongea na Hamza hakutaka kuendelea …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next