Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

SEHEMU YA 25.

“Ni rahisi sana kitabu au tuambie wapi alipo Tembo wa Trishaza na ndio tutamuachia huyu mwanamke haraka iwezekanavyo”Aliongea Mendoza

“Mabadilishano yatafanyikia wapi?”Aliuliza Hamza , hakutaka kupoteza muda.

“Kama tulivyotarajia , kumbe kitabu unacho?”Aliongea na muda ulule alimtajia eneo ambalo anapaswa kwenda.

“Mr Hamza tunakupatia masaa matatu kamili , ukipitisha hayo masaa usije kutulaumu huyu mwanamke akipotea na sisi”Aliongea na Hamza hakutaka kuendelea …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next