Wakati Regina anaamka alijikuta akiwa kwenye gari akiwa ameegamia kwenye siti.
Alijikuta akivuta kumbukumbu ya kile kilichotokea na alikaa kitako kwa haraka na ndipo aliweza kuona gari ipo kwenye mwendo na Hamza ndio dereva.
“Regina umeamka , vipi unahisi
kizunguzungu?”Aliuliza Hamza akiwa amegeuka na kumwangalia na tabasamu.
Regina alijikagua na kukagua mazingiara na kuthibitisha alikuwa salama.
“Wewe ndio umeniokoa?”Aliuliza
“Unaweza kusema hivyo , lakini haina …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments