Sehemu iliyopita tuliona namna Feruzi alivyopigiwa simu kwa namba ya Mtemi Moringo, kisha ghafla katika namna ya ajabu, akaelezwa mambo ya kutisha na kuogofya juu ya kinachoendelea huko porini....
Na sasa tuendelee
********
Alikuwa amejilaza chali kwenye kitanda chake.Kichwa kikitazama kuelekea juu na macho yake yakishuhudia sanaa ya yule fundi aliyetengeneza paa hili.
Paa lililofunikwa kwa bati zilizotembelewa na kutu na kufanya makazi ya …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments