SEHEMU YA 27.
Hamza ilibidi amuelezee Regina kwanini anataka aachane nae , alimwambia kwamba kama wataendeea kuwa pamoja kuna watu lazima wataendelea kufika kumtafuta na kusababisha matatizo , hivyo watu wa karibu yake watakuwa hatarini , hivyo hakutaka kumuingiza yeye katika matatizo yake.
“Usiwe na wasiwasi kabisa, nitalipa malipo ya kuvunja mkataba , pia haina haja ya kunilipa kupitia kampuni , nitaondoka bila kuchukua …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments