“Acha makusudi ya kujikweza , sheria namba moja katika ulimwengu wa mapigano ni kujitambulisha wewe na shirka lako , mimi ni mwanafunzi kutoka Shirka ya Tai Mweusi, jitambulishe Shirka lako na wewe kama ujasiri huo unao , udhalilishaji wa leo utalipwa mara mia zaidi”
“Nimefundishwa na Master Kato Hawk ushawahi kumsikia?”Aliuliza Hamza
“Kato Hawk , mbona sijawahi kumsikia ni raia wa wapi?”Aliuliza Mzee Konki akionyesha …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments