Reader Settings

“Acha makusudi ya kujikweza , sheria namba moja katika ulimwengu wa mapigano ni kujitambulisha wewe na shirka lako , mimi ni mwanafunzi kutoka Shirka ya Tai Mweusi, jitambulishe Shirka lako na wewe kama ujasiri huo unao , udhalilishaji wa leo utalipwa mara mia zaidi”

“Nimefundishwa na Master Kato Hawk ushawahi kumsikia?”Aliuliza Hamza

“Kato Hawk , mbona sijawahi kumsikia ni raia wa wapi?”Aliuliza Mzee Konki akionyesha …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next