Reader Settings

SEHEMU YA 29.

“Kuna ulazima wa kubadilisha na wikiend yote hii , nguo zangu nishazifua ni safi na hazina tatizo , kuna haja gani ya kuvaa nguo mpya?”Aliongea Hamza huku akiangalia Tshirt yake ya rangi ya bluu aliovaa na pensi yake.

“Kwahio zikiwa safi ndio nini, ni brand gani na umenunua shilingi ngapi?”Aliuliza Regina akiwa na muonekano wa kukereka.

“Kuhusu hilo ,.. sijui pia”Aliongea Hamza …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next