Reader Settings

Kwa zaidi ya dakika ishirini au therathini hivi hakuna aliemuongelesha mwenzake , Regina alidhania Hamza angempa sababu japo kidogo tu ya kutuliza shauku yake , alitamani kusikia hata kisingizio tu pengine angeelewa lakini licha ya hivyo Hamza alikuwa akiendesha huku akipiga ukimya.

“Huna kitu chochote cha kuniambia?”Aliuliza Regina baada ya kukosa uvumilivu na kumfanya Hamza kuangalia kioo cha nyuma.

“Ni kweli asubuhi nilikuwa na dharula …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next