SEHEMU YA 33.
Hamza aliona hakuwa na uhusiano wowote na Regina zaidi ya mkataba tu hivyo hana kosa , mara baada ya kuwaza hilo moyo wake ulijaa amani tele , na alizipiga hatua kutoka ndani ya nyumba hio kwenda nje.
Japo Regina ana magari mengi lakini hakutaka kutumia gari , isitoshe anapoishi Eliza ni wilaya hio hio na Eliza ana gari.
Baada ya …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments