Reader Settings

SEHEMU YA 34.

Hamza aligonga mlango kwa muda mrefu kidogo , lakini hakusikia majibu hivyo aliamua kushika kitasa na kuufungua kisha akaingia ndani.

Mara baada ya kuingia katika chumba hicho cha kujisomea aliweza kugundua Regina alikuwa amelalia meza akiwa usingizini , huku mbele yake kukiwa na furushi la nyaraka ambazo ilionekana

alikuwa akizifanyia kazi, Hamza aliishia kujiuliza inamaana huyu mwanamke tokea mchana alikuwa akifanya kazi …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next