SEHEMU YA 34.
Hamza aligonga mlango kwa muda mrefu kidogo , lakini hakusikia majibu hivyo aliamua kushika kitasa na kuufungua kisha akaingia ndani.
Mara baada ya kuingia katika chumba hicho cha kujisomea aliweza kugundua Regina alikuwa amelalia meza akiwa usingizini , huku mbele yake kukiwa na furushi la nyaraka ambazo ilionekana
alikuwa akizifanyia kazi, Hamza aliishia kujiuliza inamaana huyu mwanamke tokea mchana alikuwa akifanya kazi …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments