SEHEMU YA 35.
Ndani ya ofisi hio alikuwepo Sebestiani Wambe, Willium Libeta ambao wote walikuwa ni wakurugenzi wasaidizi , kulikuwepo Shabani Chacha Mkuu wa idara ya fedha , Robinson Chenga wa idara ya Strategy, Nahida Mohamed mkuu wa idara ya Masoko na kuendelea.
Kilichomfanya Hamza kutabasamu ni mara baada ya kumuona mpenzi wake Eliza alievalia suti akiwa amekaa kwenye sofa pia .
…Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments